2 Chronicles 21:12

12 a bYehoramu akapokea barua kutoka kwa nabii Ilya iliyosema:

“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Daudi baba yako, asemalo: ‘Hukuenenda katika njia za Yehoshafati baba yako au za Asa mfalme wa Yuda.
Copyright information for SwhKC